-
Yohana 13:29Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
29 Kwa kweli, baadhi yao walikuwa wakiwazia, kwa kuwa Yudasi alikuwa akilishika sanduku la fedha, kwamba Yesu alikuwa akimwambia: “Nunua vitu ambavyo twahitaji kwa ajili ya msherehekeo,” au kwamba apaswa kuwapa maskini kitu fulani.
-