-
Yohana 16:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Hata hivyo, wakati huyo awasilipo, roho ya ile kweli, atawaongoza nyinyi ndani ya kweli yote, kwa maana yeye hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo ayasikiayo atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.
-