-
Yohana 20:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Kwa sababu hiyo wanafunzi wengine wakawa wamwambia: “Tumemwona Bwana!” Lakini yeye akawaambia: “Isipokuwa nione katika mikono yake chapa ya misumari na nitie kidole changu ndani ya chapa ya misumari na kutia mkono wangu ndani ya ubavu wake, hakika kabisa mimi sitaamini.”
-