-
Matendo 8:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Akajibu: “Kwa kweli, ninawezaje kuyaelewa mtu fulani asiponiongoza?” Basi akamsihi Filipo apande aketi pamoja naye.
-
-
Matendo 8:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Akasema: “Kwa kweli, ningewezaje kufanya hivyo, isipokuwa mtu fulani angeniongoza?” Naye akamsihi Filipo kwa bidii apande na kuketi pamoja naye.
-