-
1 Wakorintho 7:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 na wale wanaolia wawe kama wale wasiolia, na wale wanaoshangilia wawe kama wale wasioshangilia, na wale wanaonunua wawe kama wale wasio na kitu,
-
-
1 Wakorintho 7:30Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
30 na pia wale watoao machozi wawe kama wale wasiotoa machozi, na wale washangiliao kama wale wasioshangilia, na wale wanunuao kama wale wasio na kitu,
-