-
1 Wakorintho 7:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 naye amegawanyika. Zaidi, mwanamke ambaye hajaolewa, na bikira, huhangaikia mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu katika mwili wake na pia katika roho yake. Hata hivyo, mwanamke aliyeolewa huhangaikia mambo ya ulimwengu, jinsi awezavyo kupata kibali cha mume wake.
-