-
1 Wakorintho 14:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Ikiwa yeyote anafikiri yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, anapaswa kutambua kwamba mambo ninayowaandikia ni amri ya Bwana.
-
-
1 Wakorintho 14:37Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
37 Ikiwa yeyote afikiri yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, acheni yeye akiri mambo ninayowaandikia nyinyi, kwa sababu hayo ni amri ya Bwana.
-