-
Waebrania 8:9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 si kulingana na agano nililofanya pamoja na baba zao wa zamani katika siku ambayo nilishika mkono wao ili kuwaleta kutoka nchi ya Misri, kwa sababu hawakuendelea katika agano langu, hivi kwamba nikakoma kuwajali,’ asema Yehova.”
-