Waamuzi 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Gideoni akawachukua wanaume kumi kati ya watumishi wake, akafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia;+ lakini ikawa kwamba, kwa kuwa aliogopa mno nyumba ya baba yake na watu wa jiji, hakuweza kuyafanya hayo mchana, aliyafanya usiku.+ Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:27 w00 8/1 17 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:27 Mnara wa Mlinzi,8/1/2000, uku. 17
27 Basi Gideoni akawachukua wanaume kumi kati ya watumishi wake, akafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia;+ lakini ikawa kwamba, kwa kuwa aliogopa mno nyumba ya baba yake na watu wa jiji, hakuweza kuyafanya hayo mchana, aliyafanya usiku.+