Waamuzi 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wakati Israeli walipokuwa wakikaa katika Heshboni na miji yake ya kandokando+ na katika Aroeri+ na miji yake ya kandokando na katika majiji yote yaliyo kando ya kingo za Arnoni kwa miaka mia tatu, kwa nini, basi, hamkuinyakua wakati huo?+
26 Wakati Israeli walipokuwa wakikaa katika Heshboni na miji yake ya kandokando+ na katika Aroeri+ na miji yake ya kandokando na katika majiji yote yaliyo kando ya kingo za Arnoni kwa miaka mia tatu, kwa nini, basi, hamkuinyakua wakati huo?+