Waamuzi 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Manoa: “Ukinizuilia, sitakula mkate wako; bali ukitaka kutoa toleo la kuteketezwa kwa Yehova,+ unaweza kulitoa.” Kwa maana Manoa hakujua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.
16 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Manoa: “Ukinizuilia, sitakula mkate wako; bali ukitaka kutoa toleo la kuteketezwa kwa Yehova,+ unaweza kulitoa.” Kwa maana Manoa hakujua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.