3 Basi akamrudishia mama yake+ vile vipande elfu moja na mia moja vya fedha; naye mama yake akaendelea kusema: “Bila shaka nitazitakasa fedha hizi kwa Yehova kutoka mkononi mwangu kwa ajili ya mwanangu, ili kutengeneza sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa;+ na sasa nitairudisha kwako.”