-
Waamuzi 18:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kisha wale watu watano ambao walikuwa wametoka kwenda kuipeleleza nchi+ wakapanda, ili waingie humo ndani, waichukue ile sanamu ya kuchongwa+ na ile efodi+ na ile terafimu+ na ile sanamu ya kuyeyushwa.+ (Na yule kuhani+ alikuwa amesimama kwenye mwingilio wa lango pamoja na wale watu mia sita waliojifunga silaha za vita.)
-