Waamuzi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wala hapakuwa na mkombozi, kwa maana lilikuwa mbali sana na Sidoni,+ nao hawakuwa na shughuli yoyote kabisa na wanadamu; na ilikuwa katika nchi tambarare ya chini iliyokuwa ya Beth-rehobu.+ Kisha wakalijenga jiji na kuanza kukaa ndani yake.+
28 Wala hapakuwa na mkombozi, kwa maana lilikuwa mbali sana na Sidoni,+ nao hawakuwa na shughuli yoyote kabisa na wanadamu; na ilikuwa katika nchi tambarare ya chini iliyokuwa ya Beth-rehobu.+ Kisha wakalijenga jiji na kuanza kukaa ndani yake.+