Waamuzi 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wana wa Benyamini wakaanza kusema: “Wanashindwa mbele yetu kama ilivyokuwa pale mwanzoni.”+ Lakini wana wa Israeli wakasema: “Na tukimbie,+ nasi hakika tutawavuta mbali kutoka katika jiji, waingie katika njia kuu.”
32 Basi wana wa Benyamini wakaanza kusema: “Wanashindwa mbele yetu kama ilivyokuwa pale mwanzoni.”+ Lakini wana wa Israeli wakasema: “Na tukimbie,+ nasi hakika tutawavuta mbali kutoka katika jiji, waingie katika njia kuu.”