1 Samweli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya muda yule mtu, Elkana, akapanda pamoja na nyumba yake yote kwenda kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na toleo lake la nadhiri.+
21 Baada ya muda yule mtu, Elkana, akapanda pamoja na nyumba yake yote kwenda kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na toleo lake la nadhiri.+