1 Samweli 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Sauli akaendelea kumwambia: “Kwa nini ninyi mmepanga hila juu yangu,+ wewe na mwana wa Yese, kwa kumpa yeye mkate na upanga, na kumuuliza Mungu kwa ajili yake, ili asimame juu yangu kama mviziaji kama ilivyo leo hii?”+
13 Na Sauli akaendelea kumwambia: “Kwa nini ninyi mmepanga hila juu yangu,+ wewe na mwana wa Yese, kwa kumpa yeye mkate na upanga, na kumuuliza Mungu kwa ajili yake, ili asimame juu yangu kama mviziaji kama ilivyo leo hii?”+