2 Samweli 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Wakati huo Absalomu naye akakimbia.+ Baadaye yule kijana, mlinzi,+ akainua macho yake, na tazama! kulikuwa na watu wengi wakija barabarani nyuma yake kando ya ubavu wa mlima.
34 Wakati huo Absalomu naye akakimbia.+ Baadaye yule kijana, mlinzi,+ akainua macho yake, na tazama! kulikuwa na watu wengi wakija barabarani nyuma yake kando ya ubavu wa mlima.