2 Samweli 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke: “Tafadhali, usinifiche jambo ambalo ninakuuliza.”+ Na yule mwanamke akasema: “Tafadhali, bwana wangu mfalme na aseme.”
18 Mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke: “Tafadhali, usinifiche jambo ambalo ninakuuliza.”+ Na yule mwanamke akasema: “Tafadhali, bwana wangu mfalme na aseme.”