20 Sasa watumishi wa Absalomu wakaja kwa mwanamke yule nyumbani kwake na kusema: “Ahimaazi na Yonathani wako wapi?” Kwa hiyo yule mwanamke akawaambia: “Walipita hapa wakaenda kwenye maji.”+ Ndipo wakaendelea kutafuta, nao hawakuwapata,+ kisha wakarudi Yerusalemu.