1 Wafalme 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+