2 Wafalme 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Makuhani+ wa mahali pa juu tu ndio hawakupanda mpaka kwenye madhabahu ya Yehova katika Yerusalemu, lakini walikula keki zisizo na chachu+ katikati ya ndugu zao.
9 Makuhani+ wa mahali pa juu tu ndio hawakupanda mpaka kwenye madhabahu ya Yehova katika Yerusalemu, lakini walikula keki zisizo na chachu+ katikati ya ndugu zao.