11 Na zaidi ya hayo, akafanya wale farasi ambao wafalme wa Yuda walikuwa wametoa kwa ajili ya jua wakome kuingia katika nyumba ya Yehova kupitia chumba cha kulia+ chakula cha Nathan-meleki ofisa wa makao ya mfalme, kilichokuwa katika roshani; naye akateketeza kwa moto magari ya jua.+