2 Wafalme 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akatuma kwake mkuu wa 50 akiwa na 50 wake.+ Alipopanda kwake, tazama, alikuwa ameketi juu ya kilele cha mlima. Basi akamwambia: “Ewe mtu wa Mungu wa kweli,+ mfalme amesema, ‘Shuka.’” 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:9 Igeni Imani Yao, makala 1
9 Naye akatuma kwake mkuu wa 50 akiwa na 50 wake.+ Alipopanda kwake, tazama, alikuwa ameketi juu ya kilele cha mlima. Basi akamwambia: “Ewe mtu wa Mungu wa kweli,+ mfalme amesema, ‘Shuka.’”