2 Wafalme 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia Eliya: “Shuka, uende pamoja naye. Usiogope kwa sababu yake.”+ Basi akasimama, akashuka na kwenda pamoja naye kwa mfalme.
15 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia Eliya: “Shuka, uende pamoja naye. Usiogope kwa sababu yake.”+ Basi akasimama, akashuka na kwenda pamoja naye kwa mfalme.