2 Wafalme 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko wakamkaribia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?” Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo. Kaeni kimya.”+
5 Ndipo wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko wakamkaribia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?” Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo. Kaeni kimya.”+