2 Wafalme 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye Elisha akasema: “Kama anavyoishi Yehova wa majeshi+ ambaye ninasimama mbele zake, kama haingekuwa kwamba ninaufikiria uso wa Yehoshafati mfalme wa Yuda,+ nisingekutazama wala kukuona wewe.+
14 Naye Elisha akasema: “Kama anavyoishi Yehova wa majeshi+ ambaye ninasimama mbele zake, kama haingekuwa kwamba ninaufikiria uso wa Yehoshafati mfalme wa Yuda,+ nisingekutazama wala kukuona wewe.+