2 Wafalme 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi akawaandalia karamu kubwa; nao wakaanza kula na kunywa, kisha akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikundi vya waporaji vya Wasiria havikurudi+ tena hata mara moja katika nchi ya Israeli.
23 Basi akawaandalia karamu kubwa; nao wakaanza kula na kunywa, kisha akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikundi vya waporaji vya Wasiria havikurudi+ tena hata mara moja katika nchi ya Israeli.