10 Basi wakaenda, wakawaita watunza-malango+ wa jiji na kuwaletea habari, wakisema: “Tuliingia katika kambi ya Wasiria, na, tazama! hapakuwa na mtu yeyote humo wala sauti ya mwanadamu, lakini farasi peke yao waliofungwa na punda waliofungwa na mahema kama walivyoyaacha.”+