13 Ndipo mmoja wa watumishi wake akajibu na kusema: “Tafadhali, acha wachukue farasi watano kati ya wale waliobaki ambao wamebaki jijini.+ Tazama! Wao ni sawa na umati wote wa Israeli ambao umebaki ndani yake. Tazama! Wao ni kama umati wote wa Israeli ambao umeangamia.+ Nasi tutume watu tuone.”