2 Wafalme 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na pesa za matoleo ya hatia+ na pesa za matoleo ya dhambi, hazikuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova. Kwa hiyo zikawa za makuhani.+
16 Na pesa za matoleo ya hatia+ na pesa za matoleo ya dhambi, hazikuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova. Kwa hiyo zikawa za makuhani.+