2 Wafalme 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Alitembea katika hizo.
11 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Alitembea katika hizo.