2 Wafalme 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akaendelea kusema: “Chukua mishale.” Basi akaichukua. Kisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Piga chini.” Basi akapiga mara tatu halafu akaacha.+
18 Naye akaendelea kusema: “Chukua mishale.” Basi akaichukua. Kisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Piga chini.” Basi akapiga mara tatu halafu akaacha.+