2 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+ 2 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:25 w09 1/1 25 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:25 Igeni, kur. 108-109 Mnara wa Mlinzi,1/1/2009, uku. 25 “Kila Andiko,” uku. 153
25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+