2 Wafalme 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ siku zake zote.
18 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ siku zake zote.