1 Mambo ya Nyakati 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nao wakaanza kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Mungu wa mababu zao, wakawa wakifanya uasherati+ na miungu+ ya vikundi vya watu wa nchi hiyo, ambao Mungu alikuwa ameangamiza kutoka mbele yao.
25 Nao wakaanza kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Mungu wa mababu zao, wakawa wakifanya uasherati+ na miungu+ ya vikundi vya watu wa nchi hiyo, ambao Mungu alikuwa ameangamiza kutoka mbele yao.