1 Mambo ya Nyakati 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na mpaka wakati huo alikuwa katika lango la mfalme+ upande wa mashariki. Hawa ndio waliokuwa watunza-malango wa kambi za wana wa Lawi.+
18 na mpaka wakati huo alikuwa katika lango la mfalme+ upande wa mashariki. Hawa ndio waliokuwa watunza-malango wa kambi za wana wa Lawi.+