1 Mambo ya Nyakati 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Alipokuja Siklagi,+ Adna na Yozabadi na Yediaeli na Mikaeli na Yozabadi na Elihu na Zilethai, vichwa+ vya maelfu wa Manase walitoroka kutoka kwa Manase na kumwendea.
20 Alipokuja Siklagi,+ Adna na Yozabadi na Yediaeli na Mikaeli na Yozabadi na Elihu na Zilethai, vichwa+ vya maelfu wa Manase walitoroka kutoka kwa Manase na kumwendea.