1 Mambo ya Nyakati 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili wajipange kukutana na wana wa Amoni.+
11 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili wajipange kukutana na wana wa Amoni.+