23 Lakini Ornani akamwambia Daudi: “Uchukue uwe wako,+ na bwana wangu mfalme afanye lililo jema machoni pake mwenyewe. Tazama, natoa ng’ombe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa na chombo cha kupuria+ kwa ajili ya kuni+ na ngano kuwa toleo la nafaka. Natoa vyote.”+