-
1 Mambo ya Nyakati 24:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ndipo Shemaya mwana wa Nethaneli mwandishi+ wa Walawi akawaandika mbele ya mfalme na wakuu na Sadoki+ kuhani na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari+ na vichwa vya baba za makuhani na vya Walawi,+ nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba ikichaguliwa kwa ajili ya Eleazari+ na moja ikichaguliwa kwa ajili ya Ithamari.+
-