1 Mambo ya Nyakati 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Wa Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na vizazi vyao kulingana na mababu zao. Walitafutwa katika mwaka wa 40+ wa ufalme wa Daudi, nao mashujaa, wanaume wenye nguvu wakapatikana kati yao huko Yazeri+ katika Gileadi.+
31 Wa Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na vizazi vyao kulingana na mababu zao. Walitafutwa katika mwaka wa 40+ wa ufalme wa Daudi, nao mashujaa, wanaume wenye nguvu wakapatikana kati yao huko Yazeri+ katika Gileadi.+