32 Na ndugu zake, wanaume wenye uwezo,+ walikuwa elfu mbili na mia saba, walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba.+ Basi Daudi mfalme akawapa mgawo kuwa juu ya Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Wamanase,+ kwa ajili ya kila jambo la Mungu wa kweli na jambo+ la mfalme.