2 Mambo ya Nyakati 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu; kwa maana binti ya Ahabu alikuwa amekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+
6 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu; kwa maana binti ya Ahabu alikuwa amekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+