2 Mambo ya Nyakati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na yale mambo mengine ya Manase na sala+ yake kwa Mungu wake na maneno ya waonaji+ walioendelea kusema naye katika jina la Yehova Mungu wa Israeli, tazama, yamo kati ya mambo ya wafalme wa Israeli.+
18 Na yale mambo mengine ya Manase na sala+ yake kwa Mungu wake na maneno ya waonaji+ walioendelea kusema naye katika jina la Yehova Mungu wa Israeli, tazama, yamo kati ya mambo ya wafalme wa Israeli.+