Ezekieli 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kikombe cha dada yako utakinywa, kile chenye kina na kipana.+ Utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, kikombe kilicho na mengi.+
32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kikombe cha dada yako utakinywa, kile chenye kina na kipana.+ Utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, kikombe kilicho na mengi.+