Ezekieli 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akapima lango kutoka kwenye dari ya chumba kimoja cha mlinzi mpaka kwenye dari ya kile kingine, upana wa mikono 25;+ mwingilio mmoja ulielekeana na mwingilio mwingine.
13 Naye akapima lango kutoka kwenye dari ya chumba kimoja cha mlinzi mpaka kwenye dari ya kile kingine, upana wa mikono 25;+ mwingilio mmoja ulielekeana na mwingilio mwingine.