Ezekieli 44:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Na itatukia kwamba watakapoingia ndani ya malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani, na wasivae sufu yoyote wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani na wakiwa ndani.+
17 “ ‘Na itatukia kwamba watakapoingia ndani ya malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani, na wasivae sufu yoyote wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani na wakiwa ndani.+