Hosea 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hawataendelea kummiminia Yehova divai.+ Na dhabihu zao hazitampendeza;+ hizo ni kama mkate wa nyakati za maombolezo+ kwao; wote wanaoula watajitia unajisi. Kwa maana mkate wao ni kwa ajili ya nafsi zao wenyewe; hautaingia katika nyumba ya Yehova.+
4 Hawataendelea kummiminia Yehova divai.+ Na dhabihu zao hazitampendeza;+ hizo ni kama mkate wa nyakati za maombolezo+ kwao; wote wanaoula watajitia unajisi. Kwa maana mkate wao ni kwa ajili ya nafsi zao wenyewe; hautaingia katika nyumba ya Yehova.+