Yoeli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+ Yoeli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:18 w99 3/1 19; w98 5/1 25 Yoeli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:18 Ibada Safi, kur. 203-204 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, uku. 195/1/1998, uku. 25
18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+